Ezr. 2:13-16 Swahili Union Version (SUV)

13. Wana wa Adonikamu, mia sita sitini na sita.

14. Wana wa Bigwai, elfu mbili hamsini na sita.

15. Wana wa Adini, mia nne hamsini na wanne.

16. Wana wa Ateri, wa wana wa Hezekia, tisini na wanane.

Ezr. 2