Eze. 44:25 Swahili Union Version (SUV)

Wala hawatakaribia maiti na kujitia unajisi; ila kwa ajili ya baba, au mama, au mwana, au binti, au ndugu mwanamume, au ndugu mwanamke asiyeolewa bado, waweza kujitia unajisi.

Eze. 44

Eze. 44:17-29