Eze. 39:18 Swahili Union Version (SUV)

Mtakula nyama yao walio hodari, na kunywa damu ya wakuu wa dunia, ya kondoo waume na ya wana-kondoo, na ya mbuzi, na ya ng’ombe, wote na wanono wa Bashani.

Eze. 39

Eze. 39:9-21