Eze. 33:9 Swahili Union Version (SUV)

Walakini ukimwonya mtu mbaya kwa sababu ya njia yake, kusudi aiache; wala yeye asiiache; atakufa huyo katika uovu wake, lakini wewe umejiokoa roho yako.

Eze. 33

Eze. 33:1-11