Efe. 5:10-13 Swahili Union Version (SUV)

10. mkihakiki ni nini impendezayo Bwana.

11. Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;

12. kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.

13. Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.

Efe. 5