10. mkihakiki ni nini impendezayo Bwana.
11. Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;
12. kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena.
13. Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru.