Efe. 3:13-15 Swahili Union Version (SUV)

13. Basi naomba msikate tamaa kwa sababu ya dhiki zangu kwa ajili yenu, zilizo utukufu kwenu.

14. Kwa hiyo nampigia Baba magoti,

15. ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa duniani unaitwa,

Efe. 3