Ebr. 9:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Basi hata agano la kwanza lilikuwa na kawaida za ibada, na patakatifu pake, pa kidunia.

2. Maana hema ilitengenezwa, ile ya kwanza, mlimokuwa na kinara cha taa, na meza, na mikate ya Wonyesho; ndipo palipoitwa, Patakatifu.

3. Na nyuma ya pazia la pili, ile hema iitwayo Patakatifu pa patakatifu,

Ebr. 9