6. bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya taraja letu mpaka mwisho.
7. Kwa hiyo, kama anenavyo Roho Mtakatifu,Leo, kama mtaisikia sauti yake,
8. Msifanye migumu mioyo yenu,Kama wakati wa kukasirisha,Siku ya kujaribiwa katika jangwa,