Dan. 10:8 Swahili Union Version (SUV)

Basi nikaachwa peke yangu, nikaona maono haya makubwa, wala hazikubaki nguvu ndani yangu; maana uzuri wangu uligeuzwa ndani yangu kuwa uharibifu, wala sikusaziwa nguvu.

Dan. 10

Dan. 10:4-11