5. Aiondoaye milima, nayo haina habari,Akiipindua katika hasira zake.
6. Aitikisaye dunia itoke mahali pake,Na nguzo zake hutetema.
7. Aliamuruye jua, nalo halichomozi;Nazo nyota huzipiga muhuri.
8. Ambaye peke yake ni mwenye kuzitandika mbingu,Na kuyakanyaga mawimbi ya bahari.