32. Kwani yeye si mtu, kama mimi, hata nimjibu,Hata tukaribiane katika hukumu.
33. Hapana mwenye kuamua katikati yetu,Awezaye kutuwekea mkono sote wawili.
34. Na aniondolee fimbo yake,Na utisho wake usinitie hofu;
35. Ndipo hapo ningesema, nisimwogope;Kwani sivyo nilivyo nafsini mwangu.