Ayu. 9:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,

2. Kweli najua kuwa ndivyo hivyo;Lakini mtu huwaje mwenye haki mbele za Mungu?

3. Kama akipenda kushindana naye,Hawezi kumjibu neno moja katika elfu.

Ayu. 9