16. Ninadhoofika; sitaishi sikuzote;Usinisumbue, kwani siku zangu ni uvuvio.
17. Je! Mtu ni kitu gani, hata ukamtukuza,Na kumtia moyoni mwako,
18. Na kumwangalia kila asubuhi,Na kumjaribu kila dakika?
19. Je! Hata lini hukomi kuniangalia;Wala kunisumbua hata nimeze mate?