Ayu. 7:16-19 Swahili Union Version (SUV)

16. Ninadhoofika; sitaishi sikuzote;Usinisumbue, kwani siku zangu ni uvuvio.

17. Je! Mtu ni kitu gani, hata ukamtukuza,Na kumtia moyoni mwako,

18. Na kumwangalia kila asubuhi,Na kumjaribu kila dakika?

19. Je! Hata lini hukomi kuniangalia;Wala kunisumbua hata nimeze mate?

Ayu. 7