Ayu. 6:3-6 Swahili Union Version (SUV)

3. Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa bahari;Kwa hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.

4. Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi i ndani yangu,Na roho yangu inainywa sumu yake;Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.

5. Je! Huyo punda-mwitu hulia akiwa na majani?Au, ng’ombe hulia malishoni?

6. Je! Kitu kisicho na ladha yumkini kulika pasipo chumvi?Au je, uto wa yai una tamu iwayo yote?

Ayu. 6