Ayu. 40:15-18 Swahili Union Version (SUV)

15. Mwangalie huyo kiboko, niliyemwumba pamoja nawe;Yeye hula nyasi kama vile ng’ombe,

16. Tazama basi, nguvu zake ni katika viuno vyake,Na uwezo wake u katika mishipa ya tumbo lake.

17. Yeye hutikisa mkia wake mfano wa mwerezi;Mishipa ya mapaja yake yanaungamana pamoja.

18. Mifupa yake ni kama mirija ya shaba;Mbavu zake ni kama vipande vya chuma.

Ayu. 40