5. Ni nani aliyempeleka punda-milia aende huru?Au je! Ni nani aliyemfungulia vifungo punda-mwitu?
6. Ambaye nimeifanya nyika kuwa nyumba yake,Na nchi ya chumvi kuwa makao yake.
7. Yeye hudharau mshindo wa mji,Wala hasikii kelele zake msimamizi.
8. Upana wa milima ni malisho yake,Hutafuta-tafuta kila kitu kilicho kibichi.
9. Je! Nyati atakubali kukutumikia?Au atakaa katika zizi lako?