32. Je! Waweza kuziongoza Sayari kwa wakati wake?Au waweza kuongoza Dubu na watoto wake?
33. Je! Unazijua amri zilizoamuriwa mbingu?Waweza kuyathibitisha mamlaka yake juu ya dunia?
34. Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni,ili wingi wa maji ukufunikize?
35. Waweza kuutuma umeme, nao ukaenda,Ukakuambia, Sisi tupo hapa?