31. Je! Waweza kuufunga mnyororo wa Kilimia,Au kuvilegeza vifungo vya Orioni?
32. Je! Waweza kuziongoza Sayari kwa wakati wake?Au waweza kuongoza Dubu na watoto wake?
33. Je! Unazijua amri zilizoamuriwa mbingu?Waweza kuyathibitisha mamlaka yake juu ya dunia?