Ayu. 37:9-12 Swahili Union Version (SUV)

9. Dhoruba hutoka katika vyumba vyake;Na baridi ghalani mwake.

10. Barafu huletwa kwa pumzi za Mungu;Na upana wa maji huganda.

11. Naam, huyatweka mawingu mazito mzigo wa maji;Hulitandika wingu la umeme wake;

12. Nalo hugeuzwa huku na huku kwa uongozi wake,Ili yafanye yote atakayoyaagizaJuu ya uso wa dunia hii ikaayo watu;

Ayu. 37