9. Dhoruba hutoka katika vyumba vyake;Na baridi ghalani mwake.
10. Barafu huletwa kwa pumzi za Mungu;Na upana wa maji huganda.
11. Naam, huyatweka mawingu mazito mzigo wa maji;Hulitandika wingu la umeme wake;
12. Nalo hugeuzwa huku na huku kwa uongozi wake,Ili yafanye yote atakayoyaagizaJuu ya uso wa dunia hii ikaayo watu;