Ayu. 34:23-25 Swahili Union Version (SUV)

23. Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi,ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.

24. Yeye huwavunja-vunja mashujaa pasina kuwachunguza,Na kuwaweka wengine mahali pao.

25. Kwa sababu hiyo yeye huyatafiti matendo yao;Naye huwapindia usiku, wakaangamia.

Ayu. 34