23. Kwani yeye hana haja ya kumfikiria mtu zaidi,ili aende mbele za Mungu ahukumiwe.
24. Yeye huwavunja-vunja mashujaa pasina kuwachunguza,Na kuwaweka wengine mahali pao.
25. Kwa sababu hiyo yeye huyatafiti matendo yao;Naye huwapindia usiku, wakaangamia.