Ayu. 33:20-23 Swahili Union Version (SUV)

20. Hata roho yake huchukia chakula,Na nafsi yake huchukia nyama nzuri.

21. Nyama ya mwili wake huliwa, isionekane;Na mifupa yake isiyoonekana yatokea nje.

22. Naam, nafsi yake inakaribia shimoni,Na uhai wake unakaribia waangamizi.

23. Kwamba akiwapo malaika pamoja naye,Mkalimani, mmoja katika elfu,Ili kumwonyesha binadamu hayo yampasayo;

Ayu. 33