20. Hata roho yake huchukia chakula,Na nafsi yake huchukia nyama nzuri.
21. Nyama ya mwili wake huliwa, isionekane;Na mifupa yake isiyoonekana yatokea nje.
22. Naam, nafsi yake inakaribia shimoni,Na uhai wake unakaribia waangamizi.
23. Kwamba akiwapo malaika pamoja naye,Mkalimani, mmoja katika elfu,Ili kumwonyesha binadamu hayo yampasayo;