Ayu. 27:14-17 Swahili Union Version (SUV)

14. Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga;Na wazao wake hawatashiba chakula.

15. Hao watakaosalia kwake watazikwa katika kufa,Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.

16. Ajapokusanya fedha kama mavumbi,Na kujifanyia mavazi kama udongo kwa wingi;

17. Yumkini kuyatengeza, lakini wenye haki watayavaa,Nao wasio na hatia watazigawanya hizo fedha.

Ayu. 27