Ayu. 17:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Roho yangu imezimika, siku zangu zimekoma,Kaburi i tayari kunipokea.

2. Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka,Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.

3. Nipe rehani basi, uwe dhamana kwa ajili yangu kwako wewe mwenyewe;Kuna nani atakayeniwekea dhamana?

Ayu. 17