Ayu. 15:21-24 Swahili Union Version (SUV)

21. Sauti za utisho zi masikioni mwake;Katika kufanikiwa kwake mtekaji nyara atamjia juu yake;

22. Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani,Naye hungojewa na upanga;

23. Hutanga-tanga ili apate chakula, akisema, Ki wapi?Ajua kwamba siku ya giza i tayari karibu yake;

24. Mateso na dhiki humtia hofu;Humshinda kama vile mfalme aliye tayari kwa vita;

Ayu. 15