1. Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamkeSiku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
2. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa;Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
3. Nawe, je! Wafumbua macho yako kumwangalia mtu kama yeye,Na kunitia katika hukumu pamoja nawe?
4. Ni nani awezaye kutoa kitu kilicho safi kitoke katika kitu kichafu? Hapana awezaye.