19. Yeye huwaondoa makuhani hali wametekwa nyara.Na kuwapindua mashujaa.
20. Huondoa matamko ya hao walioaminiwa,Na kuondoa fahamu za wazee.
21. Humwaga aibu juu ya hao wakuu,Na kulegeza mshipi wa wenye nguvu.
22. Huvumbua mambo ya siri tokea gizani,Na hicho kilicho giza tupu huleta mwangani.
23. Huyaongeza mataifa, na kuyaangamiza;Huyaeneza mataifa mbali, na kuyaacha.