Ayu. 10:4-8 Swahili Union Version (SUV)

4. Je! Wewe una macho ya kimwili,Au je! Waona kama aonavyo binadamu?

5. Je! Siku zako ni kama siku za mtu,Au je! Miaka yako ni kama siku za mtu,

6. Hata ukauliza-uliza habari za uovu wangu,Na kuitafuta dhambi yangu,

7. Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu;Wala hapana awezaye kuokoa na mkono wako?

8. Mikono yako imeniumba na kunifinyanga;Nawe utageuka na kuniangamiza?

Ayu. 10