Amu. 14:5-7 Swahili Union Version (SUV)

5. Ndipo Samsoni na baba yake na mama yake wakatelemkia Timna, wakafika mashamba ya mizabibu huko Timna; na tazama, mwana-simba akamngurumia.

6. Roho ya BWANA ikamjilia kwa nguvu, naye akampasua kana kwamba anampasua mwana-mbuzi, wala hakuwa na kitu cho chote mkononi mwake; lakini hakuwaambia baba yake na mama yake aliyoyafanya.

7. Basi akatelemka na kuzungumza na huyo mwanamke; naye akampendeza Samsoni sana.

Amu. 14