2 The. 3:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa vile vile kama ilivyo kwenu;

2. tukaokolewe na watu wasio haki, wabaya; maana si wote walio na imani.

3. Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda na yule mwovu.

2 The. 3