2 The. 3:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa vile vile kama ilivyo kwenu;

2. tukaokolewe na watu wasio haki, wabaya; maana si wote walio na imani.

2 The. 3