2 Sam. 23:32-35 Swahili Union Version (SUV)

32. na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,

33. mwana wa Shama, Mharari, na Ahiamu, mwana wa Shalali, Mharari;

34. na Elifeleti, mwana wa Ahasbai, na Heferi, Mmaakathi, na Eliamu, mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35. na Hezro, Mkarmeli, na Paarai, Mwarbi;

2 Sam. 23