2 Sam. 18:14 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Yoabu akasema, Siwezi kungoja na kusema nawe hivi. Akachukua vyemba vitatu mkononi mwake, akamchoma Absalomu moyoni, alipokuwa akali hai katikati ya ule mwaloni.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:9-17