2 Sam. 14:33 Swahili Union Version (SUV)

Basi Yoabu akamwendea mfalme, akamwambia hayo, naye alipomwita Absalomu, yeye akaja kwa mfalme, akainama kifulifuli hata nchi mbele ya mfalme; naye mfalme akambusu Absalomu.

2 Sam. 14

2 Sam. 14:26-33