2 Sam. 12:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Ndipo BWANA akamtuma Nathani aende kwa Daudi. Naye akamwendea, akamwambia, Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini.

2. Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng’ombe wengi sana;

2 Sam. 12