2 Nya. 35:24 Swahili Union Version (SUV)

Basi watumishi wake wakamtoa garini, wakamtia katika gari la pili alilokuwa nalo, wakamleta Yerusalemu; naye akafa, akazikwa makaburini mwa babaze. Wakamlilia Yosia Yuda wote na Yerusalemu.

2 Nya. 35

2 Nya. 35:22-27