2 Nya. 16:13-14 Swahili Union Version (SUV)

13. Asa akalala na babaze, akafa katika mwaka wa arobaini na mmoja wa kumiliki kwake.

14. Wakamzika katika makaburi yake mwenyewe, aliyojichimbia katika mji wa Daudi, wakamlaza juu ya kitanda kilichojazwa manukato, na kila namna ya machanganyiko ya hao mafundi wa dawa; wakamfukizia mafukizo makuu sana.

2 Nya. 16