2 Kor. 8:7 Swahili Union Version (SUV)

Lakini kama mlivyo na wingi wa mambo yote; imani, na usemi, na elimu, na bidii yote, na upendo wenu kwetu sisi; basi vivyo hivyo mpate wingi wa neema hii pia.

2 Kor. 8

2 Kor. 8:1-8