2 Kor. 12:6 Swahili Union Version (SUV)

Maana kama ningetaka kujisifu singekuwa mpumbavu, kwa sababu nitasema kweli. Lakini najizuia, ili mtu asinihesabie zaidi ya hayo ayaonayo kwangu au kuyasikia kwangu.

2 Kor. 12

2 Kor. 12:1-10