2 Kor. 11:22-24 Swahili Union Version (SUV)

22. Wao ni Waebrania? Na mimi pia. Wao ni Waisraeli? Na mimi pia. Wao ni uzao wa Ibrahimu? Na mimi pia.

23. Wao ni wahudumu wa Kristo? (Nanena kiwazimu), mimi ni zaidi; katika taabu kuzidi sana; katika vifungo kuzidi sana; katika mapigo kupita kiasi; katika mauti mara nyingi.

24. Kwa Wayahudi mara tano nalipata mapigo arobaini kasoro moja.

2 Kor. 11