2 Fal. 2:5 Swahili Union Version (SUV)

Basi wana wa manabii, waliokuwako Yeriko, wakamkaribia Elisha, wakamwambia, Je! Unajua ya kuwa BWANA atamwondoa bwana wako leo, asiwe mkubwa wako? Akajibu, Naam, najua, nyamazeni.

2 Fal. 2

2 Fal. 2:1-12