2 Fal. 14:23 Swahili Union Version (SUV)

Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; akatawala miaka arobaini na mmoja.

2 Fal. 14

2 Fal. 14:14-26