2 Fal. 12:10 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, walipoona ya kuwa fedha nyingi imo kashani, karani wa mfalme akapanda na kuhani mkuu, wakaifunga mifukoni, wakaihesabu fedha iliyoonekana nyumbani mwa BWANA.

2 Fal. 12

2 Fal. 12:6-14