1 Tim. 1:13 Swahili Union Version (SUV)

ingawa hapo kwanza nalikuwa mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye jeuri, lakini nalipata rehema kwa kuwa nalitenda hivyo kwa ujinga, na kwa kutokuwa na imani.

1 Tim. 1

1 Tim. 1:12-17