1 Sam. 4:18 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa alipolitaja sanduku la Mungu, Eli akaanguka kitini pake kwa nyuma, kando ya mlango, shingo yake ikavunjika, akafa; maana alikuwa mzee, tena mzito. Naye alikuwa amewaamua Israeli miaka arobaini.

1 Sam. 4

1 Sam. 4:16-20