1 Sam. 30:28-31 Swahili Union Version (SUV)

28. na kwa hao wa Aroeri, na kwa hao wa Sifmothi, na kwa hao wa Eshtemoa;

29. na kwa hao wa Rakali, na kwa hao wa miji ya Wayerameeli, na kwa hao wa miji ya Wakeni;

30. na kwa hao wa Horma, na kwa hao wa Korashani, na kwa hao wa Athaki;

31. na kwa hao wa Hebroni, na kwa hao wa kila mahali alipozoelea Daudi mwenyewe na watu wake.

1 Sam. 30