1 Sam. 25:35 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimeukubali uso wako.

1 Sam. 25

1 Sam. 25:25-43