1 Sam. 23:7 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Sauli aliambiwa ya kwamba Daudi amefika Keila. Sauli akasema, Mungu amemtia mkononi mwangu; kwa maana amefungwa ndani, kwa vile alivyoingia katika mji wenye malango na makomeo.

1 Sam. 23

1 Sam. 23:1-17