1 Sam. 21:4 Swahili Union Version (SUV)

Yule kuhani akamjibu Daudi, akasema, Hapana mikate ya sikuzote chini ya mkono wangu, ila mikate mitakatifu; ikiwa wale vijana wamejitenga na wanawake.

1 Sam. 21

1 Sam. 21:1-7