1 Sam. 17:36 Swahili Union Version (SUV)

Mtumishi wako alimwua simba na dubu pia; na huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wao, kwa sababu amewatukana majeshi ya Mungu aliye hai.

1 Sam. 17

1 Sam. 17:28-41