1 Sam. 15:35 Swahili Union Version (SUV)

Wala Samweli hakuenda tena kuonana na Sauli hata siku ya kufa kwake; lakini Samweli alikuwa akimlilia Sauli; naye BWANA akaghairi ya kuwa amemtawaza Sauli awe mfalme juu ya Israeli.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:26-35